Ramani ya Fasihi ni kitabu ambacho kimeshughulikia mambo yote kuhusu fasihi simulizi na fasihi andishi. Kimepambanua vipera vya fasihi simulizi na fasihi andishi kwa mapana na marefu.
Ramani ya Fasihi ni kitabu ambacho kimeshughulikia mambo yote kuhusu fasihi simulizi na fasihi andishi. Kimepambanua vipera vya fasihi simulizi na fasihi andishi kwa mapana na marefu.