Mbaraka Mwinshehe na Muziki wa Rumba Tanzania
Par :Formats :
Disponible dans votre compte client Decitre ou Furet du Nord dès validation de votre commande. Le format ePub est :
- Compatible avec une lecture sur My Vivlio (smartphone, tablette, ordinateur)
- Compatible avec une lecture sur liseuses Vivlio
- Pour les liseuses autres que Vivlio, vous devez utiliser le logiciel Adobe Digital Edition. Non compatible avec la lecture sur les liseuses Kindle, Remarkable et Sony

Notre partenaire de plateforme de lecture numérique où vous retrouverez l'ensemble de vos ebooks gratuitement
Pour en savoir plus sur nos ebooks, consultez notre aide en ligne ici
- FormatePub
- ISBN8223838692
- EAN9798223838692
- Date de parution22/12/2023
- Protection num.pas de protection
- Infos supplémentairesepub
- ÉditeurDraft2Digital
Résumé
Mbaraka Mwinshehe Mwaruka ni moja ya wanamuziki nyota kuwahi kutokea Tanzania. Mwanamuziki huyu alikuwa na kipaji kikubwa cha kupiga gitaa la solo, ala zingine, kutunga na kuimba. Kutokana na utunzi wake wa nyimbo za kusisimua, alijizolea wapenzi wengi wa muziki Afrika Mashariki na ya kati, akipiga zaidi muziki wa mtindo wa rumba, mtindo ambao asili yake ni kutoka Cuba na nchi zingine za Marekani ya kusini.
Katika uhai wake, alishiriki kupiga muziki katika bendi za Morogoro jazz na Super Volcano zote za mjini Morogoro. Kitabu hiki Kinaanza kwa kuelezea kuingia kwa muziki wa rumba toka Cuba wakati huo Tanganyika na kuenea kwake, kinajikita zaidi kuelezea mchango wa mwanamuziki Mbaraka Mwinshehe Mwaruka, katika kuundeleza na kuimarisha muziki huu wa rumba, kama sehemu ya juhudi za kuinua utamaduni wa taifa jipya la Tanzania na changamoto alizopitia.
Katika uhai wake, alishiriki kupiga muziki katika bendi za Morogoro jazz na Super Volcano zote za mjini Morogoro. Kitabu hiki Kinaanza kwa kuelezea kuingia kwa muziki wa rumba toka Cuba wakati huo Tanganyika na kuenea kwake, kinajikita zaidi kuelezea mchango wa mwanamuziki Mbaraka Mwinshehe Mwaruka, katika kuundeleza na kuimarisha muziki huu wa rumba, kama sehemu ya juhudi za kuinua utamaduni wa taifa jipya la Tanzania na changamoto alizopitia.
Mbaraka Mwinshehe Mwaruka ni moja ya wanamuziki nyota kuwahi kutokea Tanzania. Mwanamuziki huyu alikuwa na kipaji kikubwa cha kupiga gitaa la solo, ala zingine, kutunga na kuimba. Kutokana na utunzi wake wa nyimbo za kusisimua, alijizolea wapenzi wengi wa muziki Afrika Mashariki na ya kati, akipiga zaidi muziki wa mtindo wa rumba, mtindo ambao asili yake ni kutoka Cuba na nchi zingine za Marekani ya kusini.
Katika uhai wake, alishiriki kupiga muziki katika bendi za Morogoro jazz na Super Volcano zote za mjini Morogoro. Kitabu hiki Kinaanza kwa kuelezea kuingia kwa muziki wa rumba toka Cuba wakati huo Tanganyika na kuenea kwake, kinajikita zaidi kuelezea mchango wa mwanamuziki Mbaraka Mwinshehe Mwaruka, katika kuundeleza na kuimarisha muziki huu wa rumba, kama sehemu ya juhudi za kuinua utamaduni wa taifa jipya la Tanzania na changamoto alizopitia.
Katika uhai wake, alishiriki kupiga muziki katika bendi za Morogoro jazz na Super Volcano zote za mjini Morogoro. Kitabu hiki Kinaanza kwa kuelezea kuingia kwa muziki wa rumba toka Cuba wakati huo Tanganyika na kuenea kwake, kinajikita zaidi kuelezea mchango wa mwanamuziki Mbaraka Mwinshehe Mwaruka, katika kuundeleza na kuimarisha muziki huu wa rumba, kama sehemu ya juhudi za kuinua utamaduni wa taifa jipya la Tanzania na changamoto alizopitia.