Juma Kilaza Nguli wa Muziki Toka Mji Wenye Sifa ya Mpira na Muziki

Par : Anthony Marwa
Offrir maintenant
Ou planifier dans votre panier
Disponible dans votre compte client Decitre ou Furet du Nord dès validation de votre commande. Le format ePub est :
  • Compatible avec une lecture sur My Vivlio (smartphone, tablette, ordinateur)
  • Compatible avec une lecture sur liseuses Vivlio
  • Pour les liseuses autres que Vivlio, vous devez utiliser le logiciel Adobe Digital Edition. Non compatible avec la lecture sur les liseuses Kindle, Remarkable et Sony
Logo Vivlio, qui est-ce ?

Notre partenaire de plateforme de lecture numérique où vous retrouverez l'ensemble de vos ebooks gratuitement

Pour en savoir plus sur nos ebooks, consultez notre aide en ligne ici
C'est si simple ! Lisez votre ebook avec l'app Vivlio sur votre tablette, mobile ou ordinateur :
Google PlayApp Store
  • FormatePub
  • ISBN8215951231
  • EAN9798215951231
  • Date de parution19/12/2023
  • Protection num.pas de protection
  • Infos supplémentairesepub
  • ÉditeurWMG Publishing

Résumé

Juma Ramadhan Magola Kilaza (Magola wa Chumbi), ambaye alijulikana zaidi kwa jina Kilaza ambalo ni jina la ukoo, ni mmoja kati ya wanamuziki bora kuwahi kutokea Tanzania. Mwanamuziki huyu, alianza kupiga muziki kwenye miaka ya 1960. Katika Maisha yake, alishiriki katika bendi za Morogoro jazz, Cuban Marimba, TK Lumpopo, Magola International na Les Cuban, zote za Morogoro akishiriki kupiga muziki unaojulikana zaidi kama muziki wa dansi ama rumba.
Kitabu hiki, kinasimulia maisha yake kimuziki, mchango wake katika kukuza lugha ya Kiswahili, kuelimisha, kuburudisha, kuliwaza na kukuza sifa ya Morogoro. Kitabu pia, kinasimulia changamoto alizopitia, na visa vilivyovuma sana kati yake na mwanamuziki mwingine maarufu wa Morogoro Mbaraka Mwinshehe Mwaruka.
Juma Ramadhan Magola Kilaza (Magola wa Chumbi), ambaye alijulikana zaidi kwa jina Kilaza ambalo ni jina la ukoo, ni mmoja kati ya wanamuziki bora kuwahi kutokea Tanzania. Mwanamuziki huyu, alianza kupiga muziki kwenye miaka ya 1960. Katika Maisha yake, alishiriki katika bendi za Morogoro jazz, Cuban Marimba, TK Lumpopo, Magola International na Les Cuban, zote za Morogoro akishiriki kupiga muziki unaojulikana zaidi kama muziki wa dansi ama rumba.
Kitabu hiki, kinasimulia maisha yake kimuziki, mchango wake katika kukuza lugha ya Kiswahili, kuelimisha, kuburudisha, kuliwaza na kukuza sifa ya Morogoro. Kitabu pia, kinasimulia changamoto alizopitia, na visa vilivyovuma sana kati yake na mwanamuziki mwingine maarufu wa Morogoro Mbaraka Mwinshehe Mwaruka.